Subscribe Us

header ads

Emmanuel Jiguwi Ni Nani Haswa? Leo Utafahamu Undani Wake.!

Kwa Majina Yangu N


aitwa Emmanuel Jiguwi Ninawasaidia Watu Mbalimbali Kutatua  Changamoto Za Mifupa,Maungio Na Uzito Uliopitiliza(Unene).

:

Kwa Sababu Watu Wengi Wamekuwa Wakisumbuliwa Na Maumivu Makali Ya Maungio Na Hawajui Nini  Chanzo  Na Kipi Wafanye ili Kujikinga Na Kuondoa Maumivu Hao,Mimi Na Timu Yangu Tumejipanga Kutoa Elimu Na Ushauri[BURE] ili Kusaidia Kupunguza Au Kutokomeza Kabisa Janga Hili Ambalo  Linawatesa Sana Wananchi Wengi..

:

Usisite Kuwasiliana Nasi  Pia Kwa Namba Zifuatazo:-

0688426300

0762291606


#emmanueljiguwi #Successrace #Afyayamifupanaviungotanzania

Post a Comment

0 Comments